DIWANI SONGO DANIEL KISAWASAWA
Salaam mpenda maendeleo kata ya kisawasawa mimi diwani songo nimepewa shehena ya mawe kwa ajiri ya kata ya kisawasawa la na watu wake kufanya marekebisho sehemu zote korofi kama pale kachechema, daraja la kanolo na sehemu nyingine nimepewa mawe takribani miezi miwili sasa napigiwa simu mawe yale waliyoniwekea yamekuwa kero hahahaha sasa tunafanyaje ?je ni kweli sisi wa kuyaacha mawe kwa kero za maeneo yetu nikupongeze katwela kuanza kuchangisha 500 kwa kila mwananchi niombe ukiguswa na jambo hili peleka pesa kwa katwela tuunganishe ichonde na kisawasawa@diwani songo daniel
Maoni 0:
Chapisha Maoni
Jisajili kwenye Chapisha Maoni [Atom]
<< Nyumbani